iqna

IQNA

nabii kwa kwanza
Shakhsia katika Qur’ani/1
TEHRAN (IQNA)- Adamu (AS) ndiye baba wa jamii ya sasa ya mwanadamu na halikadhalika alikuwa Nabii kwa kwanza. Mwanadamu wa kwanza ndiye aliyekuwa Nabii wa kwanza ili mwanadami asiachwe kamwe bila mwongozo.
Habari ID: 3475530    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/07/23